LYRICS

Lulu Diva – Andazi Ft Rayvanny X Chino Kidd X Whozu LYRICS

Lulu Diva - Andazi Ft Rayvanny X Chino Kidd X Whozu LYRICS

The lyrics of “Andazi” by Lulu Diva featuring Rayvanny, Chino Kidd, and Whozu have resonated strongly with fans in Tanzania, making it a well-received track.

RELATED: Zuchu – Chapati LYRICS

Lulu Diva – Andazi Ft Rayvanny X Chino Kidd X Whozu LYRICS

Eti eeeh nilikuwa nalia nini

Ooooh nilitesekaga na nini

Eeeh hivi aliniteka na nini

Ooooh alinisumbua na nini

Ex na andazi nachagua andazi

Ex na bia nachagua bia

Ex na andazi nachagua andazi

Ex na bia nachagua bia

Toka we nenda we

Niache we bye we

Toka we nenda we

Niache we bye we

Toka we nenda we

Niache we bye we

Nakula upepo nimesahau mateso

Ukimtaja ex napata kichefchef

Niondolee mapepo

Nakula upepo nimesahau mateso

Ukimtaja ex napata kichefchef

Niondolee mapepo

Sikusikii ex nini unasema

Hibi unaongea ama unabweka

Staki tena stress

Usirudi tena

Sasa najiokotea mgodi umetema

Daddy Daddy kanipa zawadi

Kannulia gari kanipa na kadi

Daddy Daddy kanipa zawadi

Kannulia gari kanipa na kadi

Ex na andazi nachagua andazi

Ex na bia nachagua bia

Ex na andazi nachagua andazi

Ex na bia nachagua bia

Toka we nenda we

Niache we bye we

Toka we nenda we

Niache we bye we

Toka we nenda we

Niache we bye we

Eti eeeh nilikuwa nalia nini

Ooooh nilitesekaga na nini

Eeeh hivi aliniteka na nini

Ooooh alinisumbua na nini

Mbwa yule

Ex na andazi nachagua andazi

Ex na bia nachagua bia

Ex na andazi nachagua andazi

Ex na bia nachagua bia

Toka we nenda we

Niache we bye we

Toka we nenda we

Niache we bye we

Toka we nenda we

Niache we bye we

Habari yako usitume tena

Watu wako

Hiyo bloku ya watsapu

Kama hujui hiyo

Ndo talaka yako

Chino Wanna Man

Habari yako usitume tena

Watu wako

Hiyo bloku ya watsapu

Kama hujui hiyo

Ndo talaka yako

Ushanivuruga vuruga kichwa

Nikikunyima pesa basi ndani vita

Aaaah Aaaah

Bila giza hata kurudi tena

Nafsi inasita

Ex na andazi nachagua andazi

Ex na bia nachagua bia

Ex na andazi nachagua andazi

Ex na bia nachagua bia

Toka we nenda we

Niache we bye we

Toka we nenda we

Niache we bye we

Toka we nenda we

Niache we bye we

Leave a Comment