LYRICS

Kusah – Wa Sasa LYRICS

Kusah - Wa Sasa LYRICS

Experience the captivating lyrics of “Wa Sasa” by Kusah and immerse yourself in the song that has garnered widespread acclaim in Tanzania and throughout East Africa.

RELATED: Appy Tz – Watu Feki LYRICS

Kusah – Wa Sasa LYRICS

Uwoooh Uwoooh

Its Cukie Dady

Oooh my weee nataka nikupe

Penzi ulishike lote

Ulishike kwa mikono

Kwa mikono mwenyewe

Na hata ukiwa mbali weeee

Jifanye bado kama tuko wote

Mamaaaa fumba macho unione

Unione mwenyewe

Kweli mabaya yapo

Ila mazuri yapo

Tujishikilie usije ukaniacha

Utafanya nilie

Kweli wabaya wapo

Ila wazuri wapo

Inabidi uangalie usiwatamanie

Utafanya nilie

Huyu wa sasa nahisi nimefika

Sitaki hata kupepesa macho

Sioni kando

Huyu wa sasa nahisi nimefika

Sitaki hata kupepesa macho

Sioni kando

Mwenzako penzi lako burudani

Jamani huku hoi taabani

Mwenzio sikio halisikii tena

We jione mwamba

Ringa vimba dunda

Ujue nakupenda Aaaah

Mwenzio nakupenda Aaaah

Nami natamba Insta Tiktok

Naringa mwenzio nakupenda Aaaah

Wajue nakupenda Aaaaah

Kweli mabaya yapo

Ila mazuri yapo

Tujishikilie usije ukaniacha

Utafanya nilie

Kweli wabaya wapo

Ila wazuri wapo

Inabidi uangalie usiwatamanie

Utafanya nilie

Huyu wa sasa nahisi nimefika

Sitaki hata kupepesa macho

Sioni kando

Huyu wa sasa nahisi nimefika

Sitaki hata kupepesa macho

Sioni kando

Leave a Comment