LYRICS

Appy Tz – Watu Feki LYRICS

Appy Tz - Watu Feki LYRICS

Born on April 4, 1996, the exceptionally gifted Tanzanian female singer and celebrated vocalist, Appy TZ, has recently graced the music scene with her latest track titled “Watu Feki.” Delve into the captivating lyrics of this song below and immerse yourself in her musical talent.

RELATED: Lava Lava Ft Diamond Platnumz – Tuna Kikao LYRICS

Appy Tz – Watu Feki LYRICS

Siku mbili sijalala sijakula
Ninastress
Nyumba imegeuka chumba cha dharura
Emergency
Sioni marafiki ama mashosti
Au mnasubiri nife ndio mniposti
Bora nitafute pesa
Ndugu wa kweli mafanikio
Watu feki watu feki

Sitaki marafiki siwataki ng’o
Sitaki wanafiki sitaki watu feki
Wambie walio nicheat
Wakaniumiza roho
Sitaki wanafiki sitaki watu feki
Sijui ninyamaze ama niseme wanicheke
Ama nijikaze nilie ninyamaze nijiliwaze

Lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah

Watu feki wasioridhika
Nilishazika nikasafirisha
Watu feki watu feki
Leo wanakupandisha
Kesho ndio watakushusha
Watu feki watu feki
Utakufa na njaa
Msibani watapika pilau
Ukishika chapaa
Utacheka nawanao kudharau
Mmmh

Bora wali nyama kuliko walimwengu
Wakikosa sufuria watakupiga majungu
Ukweli unauma ukweli ni mchungu
Yeah yeah yeah

Sitaki marafiki siwataki ng’o
Sitaki wanafiki sitaki watu feki
Wambie walio nicheat wakaniumiza roho
Sitaki wanafiki sitaki watu feki
Sijui ninyamaze ama niseme wanicheke
Ama nijikaze nilie ninyamaze nijiliwaze

Lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah

Leave a Comment