LYRICS

Harmonize – Nitaubeba Lyrics

Harmonize - Nitaubeba Lyrics
Harmonize – Nitaubeba Lyrics

VERSE 1

Imagine uko jangwani umepotea mchana juani unatembea

Utokapo ni mbali uendapo ni mbali

Mara ngamia mbebaji akatokea na kukushusha mzigo uliokuelemea

Upate afadhali pole na safari

And thats why today to me yote tisa ila kumi umeonesha maana ya upendo

Si kwa maneno bali kwa vitendo,

Umeridhika na nilichonacho vya watu hutoleagi macho

Siku nikiwa sina twalala Oooh baby twalala

Aaaah baby if i close my eyes mi namuomba Mungu akulinde

Na akusimamie we ndo pacha wangu mie

BRIDGE

Eti siku hizi vipi mbona sikusikii tena, sikusikii ukilia sikusikii ukisema

Niko busy na boo jamani nimeshasema, niko busy na baby na msalaba wake

CHORUS

Nitaubeba, nitaubeba nitaubeba na ntafika nao kiume

Nitaubeba (iwe kwenye shida na raha) nitaubeba (ama kwenye shibe na njaa)

La kwako ndo langu my darling na ntafika nao kiume

VERSE 2

Imagine hujifahamu umezimia umewekewa damu zinaingia

Bomba ikafunguka na huwezi hata nyanyuka

Mara dakitari wa zamu akaingia umepata fahamu unamwangalia

Machozi yanakuanguka unatamani funguka

And that’s why today to me yote tisa ila kumi unanifurahisha kwenye tendo

Au unipe penzi la magendo

Aaaah baby if i close my eyes mi namuomba Mungu akulinde

Na akusimamie we ndo pacha wangu mie

BRIDGE

Eti siku hizi vipi mbona sikusikii tena, sikusikii ukilia sikusikii ukisema

Niko busy na boo jamani nimeshasema, niko busy na baby na msalaba wake

CHORUS

Nitaubeba, nitaubeba nitaubeba na ntafika nao kiume

Nitaubeba (iwe kwenye shida na raha) ntaubeba (ama kwenye shibe na njaa)

La kwako ndo langu my darling na ntafika nao kiume

OUTRO

Iwe kwenye shida na raha ama kwenye shibe na njaa

La kwako ndo langu my darling

1 Comment

  • Umeitsha sana kwenye Lyrics.

    Ila naomba hapa uichange mbadala wa kua

    “And thats why today to me yote tisa ila kumi umeonesha maana ya upendo“

    Iwe

    And thats what you did to me yote tisa ila kumi umeonesha maana ya upendo.

    Keep up the good work.

Leave a Comment