LYRICS

Harmonize – Amelowa Lyrics

Harmonize - Amelowa Lyrics
Harmonize – Amelowa Lyrics

VERSE 1

Hiyo miinamo huko nyuma yaliyomo yamo eeeh

Binti wa makamo come closer na give me some more

Kama tunda lilimshinda Adamu akashindwa kuvumilia

Sa kwanini tuitane binamu na nyongo itatumbukia

Ulimi ukipitiliza kunanimaliza mwenzako bado najiuliza

Hivi ni kweli ama tunaigiza

BRIDGE

Moyo umezama kwake bila yeye siwezi toboa

Mi ndo fundi wa raha zake natwanga nakukoboa

Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gia

Zikanipanda hisia na nilipochuchumia maji yakatoka

CHORUS

Amelowa, amelowa amelowa na mvua, amelowa amelowa amenyeshewa na mvua,

Mtoto amelowa amelowa amelowa na mvua amelowa amelowa amenyeshewa na mvua

VERSE 2

Uuuh aaah ameniweka kwenye chupa ndo maana natamba,

Uuuuh aaah kwenye papara pupa nawona washamba

Jeupega mwanao wenye kwilejakuloa jejikukila mwanau

liduvalipapa ukakaukyilamba, liduvalipamba ukakaukakyilamba

BRIDGE

Moyo umezama kwake bila yeye siwezi toboa

Mi ndo fundi wa raha zake natwanga nakukoboa

Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gia zikanipanda hisia

Na nilipochuchumia maji yakatoka

CHORUS

Amelowa, amelowa amelowa na mvua, amelowa amelowa amenyeshewa na mvua

Mtoto amelowa amelowa amelowa na mvua amelowa amelowa amenyeshewa na mvua

OUTRO

Ameniweka kwenye chupa ndo maana natamba

Kwenye papara pupa nawona washamba

Alinikumbatia mkono wa kushoto kwenye gia zikanipanda hisia

Na nilipochuchumia maji yakatoka amelowa

Leave a Comment