ENTERTAINMENT

Wanafunzi 10 bora kidato cha nne 2020/2021

Wanafunzi 10 bora kidato cha nne 2020/2021
Wanafunzi 10 bora kidato cha nne 2020/2021

Kulingana na orodha hiyo, Paul Luziga wa Panda Hill ameshika nafasi ya kwanza akifuatiwa na msichana Justina Gerald wa Canossa.

RELATED: Matokeo ya kidato cha nne 2020/2021

Mwanafunzi wa tatu ni Timothy Segu wa (Mzumbe), Isaya Rukamya(Feza Boys), Ashraf Ally (Ilboru), Samson Mwakabage (Jude), Derick Mushi (Ilboru).

Wengine walioIngia kumi bora ni Layla Atokwete (Canossa), Innocent Joseph (Mzumbe) na nafasi ya 10 ikishikwa na Lunargrace Celestine wa Canossa.

Leave a Comment