ENTERTAINMENT

Picha ya Mzee Yussuf na Diamond yawaacha mashabiki na maswali

Picha ya Mzee Yussuf na Diamond yawaacha mashabiki na maswali

Mfalme Mzee Yussuf ameshare picha akiwa na Diamond Platnumz kwenye Ukurasa wake wa Instagram, ambayo imewaacha mashabiki wengi na maswali .

Mzee Yussuf hivi Karibuni ameacha fumbo kubwa lisilokua na majibu, kutokana na kauli yake inayosema anataka Kurudi Mjini.

RELATED: Diamond Platnumz – Jeje

Wengi wameitafsiri kauli hiyo kwa namna tofauti, lakini kitendo cha kupost picha akiwa na SIMBA, kimezidi kuibua mijadala upya.

Picha ya Mzee Yussuf na Diamond yawaacha mashabiki na maswali

Kupitia ukurasa wake Mzee Yussuf alipost picha hiyo nakuandika:-

” Wakati umewadia kurudi town nadhani sasa mmeelewa tatizo si ndio maneno sasa yatakwisha, haya wale wenye aya mifukoni mwao nwale walokariri ukharamu na uhalali wafunge midomomo yao waniache nirudi mjini #NARUDIMJINI #SAFINA liko tayari kuondoka ahsanteni kwa kuja #FULLDOZ is coming nend kafanye ku subscribe chanel yangu Mzee Yusuph” .- Mzee Yussuf

Je , unadhani kuna Jambo gani kati ya mzee Yussuf na SIMBA!?

Leave a Comment