LYRICS

Diamond Platnumz – Mapoz Ft Mr. Blue & Jay Melody LYRICS

Diamond Platnumz – Mapoz Ft Mr. Blue & Jay Melody LYRICS

Today, we bring you a fresh tune titled “Mapoz” by the renowned Bongo Flava artist, Diamond Platnumz, featuring the talents of Mr. Blue and Jay Melody.

“Mapoz” is a captivating new melody delivered by Tanzanian sensation Diamond Platnumz, in collaboration with Mr. Blue and Jay Melody.

RELATED: Rayvanny – Lala Ft. Jux LYRICS

Diamond Platnumz continues to delight his dedicated fan base with impressive melodies, maintaining his signature style. His ability to craft beautiful songs and his lyrical prowess have earned him acclaim as one of Tanzania’s most celebrated artists, with many of his releases garnering significant streams and praise for his exceptional work.

Diamond Platnumz – Mapoz Ft Mr. Blue & Jay Melody LYRICS

Mmh mmh
Ooh no no no
Jay once again
Penzi zito kilo mia hamsini
Vile napata rah utaniambia nini
Kuna muda kama siamini
Na kuna muda ni kaa napendwa na jini
Maana penzi lako ndege mtini
Niko matawi ya juu nisha tulia mimi
For your love let me sing sing
Nisha kolea hatari mapenzini
Tamu pipi ya kijiti (anhaa)
Ukiilamba unacheka
Na kibaridi hikii
Niozesheni hata ndo ya mkeka
Penzi halishikiki (anhaa)
Linavyo tetemesha
Si tufunge muziki
Nikuonyeshe jinsi ninavyo cheza
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mapoz na mi
Mmmh
Na sio ndumba wala
Raha tuu zimeniziidi
Sio mambo mitala
Penzi mwenyewe nafaidi
Nakumbatwa kwa baridi
Usinione nnang’ara
Natunzwa habibi
Matikiti kudondokaa
Matikiti kudondokea
Marafiki huwa ni nyoka
Hivyo chunga wanayoongea
Nikande kande nikichooka
Sio narudi unanifokea
Ona mweni nilikotokaa
Mambo fyongo hayajaninyookea
Tamu pipi ya kijiti (anhaa)
Ukiilamba unacheka
Na kibaridi hikii
Niozesheni hata ndo ya mkeka
Penzi halishikiki (anhaa)
Linavyo tetemesha jamani
Si tufunge muziki
Nikuonyeshe jinsi ninavyo cheza
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mi na mapoz na mimi
Mapoz na mi
Mapoz na mi

1 Comment

Leave a Comment