LYRICS

Ben Pol – Maneno LYRICS

Ben Pol - Maneno LYRICS

Maneno” by Ben Pol is a significant piece in the contemporary Tanzanian music scene. Ben Pol, whose real name is Benard Michael Paul Mnyang’anga, is renowned for his contributions as a singer, songwriter, and guitarist. Born on September 8, 1989, in Dar es Salaam, Tanzania, he has been a notable figure in the industry for his soulful music and poignant lyrics.

RELATED: Aslay – Nibebe Lyrics

“Maneno” stands out not only for its lyrical depth but also for the melodic and harmonic richness characteristic of Ben Pol’s music. The song is a blend of soothing melodies and rhythmic beats, which complements the powerful message delivered through the lyrics. As with many of his tracks, Ben Pol manages to strike a balance between entertainment and meaningful content, making “Maneno” a thought-provoking piece that resonates with a wide audience.

Ben Pol – Maneno LYRICS

Ooh aah ooh aah aah ee
Ooh aah ooh aah aah eeeh

Ooh aah ooh aah aah eeeh
Ooh aaaahh

Kila siku ninapoamka
Ninapoianza siku mpya
Namshukuru Mola kwa kunilinda
Nafasi nyingine nikapewa
Labda nikijituma
Na mi iko siku ataniletea
Na mi niwe na vyangu
Niepuke ya walimwenguu

Kukicha ni maneno maneno
Wenzangu hamuishi kusema
Na mi sijali yenu maneno
Mwanadamu amezaliwa anasema
Kukicha ni maneno maneno
Wenzangu hamuishi kusema
Na mi sijali yenu maneno
Mwanadamu amezaliwa anasema
Eeh eeh eeeh oooh

Kukosa kitu leo sio tatizo
Nikitafuta nitapata kesho
Naamini Nami ataniletea
Pamoja na magumu ninayopitia
Kukosa kitu kwangu sio tatizo
Nikitafuta nitapata kesho
Naamini Nami ataniletea
Pamoja na magumu ninayopitia.
Eeeeh eeh
Hawajui kuhisi kwa upendo
Amani na furaha Siku zote
Maisha yetu ni uadui tu
Hatujui dunia tunayopita tu
Na kwenye maisha kuna kuanguka
Ila mi sitachoka nitainuka
Mpaka siku itakapofika
Ndoto zangu zote kukamilika
Na kwenye maisha kuna kuanguka
Ila mi sitachoka nitainuka
Mpaka siku itakapofika
Ndoto zangu zote kukamilika
Mmmh

Na kukicha ni maneno maneno
Wenzangu hamuishi kusema
Na mi sijali yenu maneno
Mwanadamu amezaliwa anasema
Kukicha ni maneno maneno
Wenzangu hamuishi kusema
Na mi sijali yenu maneno
Mwanadamu amezaliwa anasema
Eeh eeh eeeh oooh

Kukosa kitu leo sio tatizo
Nikitafuta nitapata kesho
Naamini nami ataniletea
Pamoja na magumu ninayopitia
Kukosa kitu kwangu sio tatizo
Nikitafuta nitapata kesho
Naamini nami ataniletea
Pamoja na magumu ninayopitia

Kukosa kitu leo sio tatizo
Nikitafuta nitapata kesho
Naamini nami ataniletea
Pamoja na magumu ninayopitia
Kukosa kitu kwangu sio tatizo
Nikitafuta nitapata kesho
Naamini nami ataniletea
Pamoja na magumu ninayopitia

Kukosa kitu leo sio tatizo
Nikitafuta nitapata kesho
Naamini nami ataniletea
Pamoja na magumu ninayopitia
Kukosa kitu kwangu sio tatizo
Nikitafuta nitapata kesho
Naamini nami ataniletea
Pamoja na magumu ninayopitia

Leave a Comment