LYRICS

Jay Melody – Baridi LYRICS

Jay Melody - Baridi LYRICS

Let’s dive into the lyrics of ‘Baridi‘ by Jay Melody, and sing along to a song that has garnered love from fans not only in Tanzania but also worldwide.

RELATED: Lulu Diva Ft Nandy – Mtaalamu LYRICS

Jay Melody – Baridi LYRICS

Linabana lina tight sijawahi pata penzi la hiv

hii KITU kutoka Sio rahisi

hata kuzama pia sio rahisi

nahisi nimekolezana

kweli hivi sio kawaida maana wewe

unaachia mwanya umeniteka umenivaa

oooh……

Ndoto zangu toka zamani kulata Mtu

kama weeee nilale lale kifuani kichwani anitawale

ndoto zangu toka zamani nipate

MTU Kama wew atae nipa burudani

HIVI….

(oooh babe

hunnie

naskia baridi mimi) *4

………………………………… oye oyoyoyo

nahapa nilipo nipo kilelen

Kama Kilimanjaro napenda unavyonipa vitu laini

nachizika na ulipo nayo

me kuwa nawe naskia Raha

kukupata naskia Raha …..

siunajuw unavyo nikuna

usiniache nitakesha bar

aaaaaaaaaah

ndoto zangu toka zamani nipate MTU Kama wew nilale lale kifuani kichwani anitawale ……

ndoto zangu toka zamani nipate MTU Kama wew atae nipa burudani mmmmmh

HIVI…..

ooh babe ……aaah

hunnie ….eeeh

naskia baridi mimi

( .oooooh babe

…………. hunnie

naskia baridi mimi )*2

uuuuh laah…….

Leave a Comment