LYRICS

Marioo – Asante Lyrics

Marioo - Asante Lyrics

“Experience and Sing Along to ‘Asante‘ Lyrics by Marioo, a Song Embraced by Enthusiastic Fans in Tanzania and Across East Africa.”

RELATED: Navy Kenzo – Fly Away Lyrics

Marioo – Asante Lyrics

Mimi ni nani nisiyeweza nisiyejua

Hata kushukuru

Mimi ni yupi nisiyeweza

Nisiyejua hata shukrani

Leo mapema I say

Aaah asante

Eeeh Eeeh Asante

Oooh Oooh Asante

Uuuh Uuuh Asante

Hata mdudu sijiiti

Labda wengine wana njia

Zao za kuomba

Mi sijiiti hata mnyama sijiiti

Labda pengine muda mwingine

Wana njia zao za kushukuru

Sijui Aaaaah

Watu wengi wanashindwa

Mimi hapa nikaweza

Wewe umeniwezesha kwanini nasahau

Watu wengi wakwama

Mimi hapa nikapita

Wewe ukanipitisha kwanini nasahau

Kama nina miguu miwili

Umenipa mikono miwili

Hapa nipo na macho naona

Mi ni mtu gani

Mimi ni nani nisiyeweza nisiyejua

Hata kushukuru

Mimi ni yupi nisiyeweza

Nisiyejua hata shukrani

Leo mapema I say

Aaah asante

Eeeh Eeeh Asante

Oooh Oooh Asante

Uuuh Uuuh Asante

Asante baba asante kwa kila leo

Aaay iye iye

Eeeh Aaaah

Ipi sababu ya mimi kutembea mpaka leo

Ipi sababu ya mimi kuiona hii leo

Ipi sababu ya mimi kuongea mpaka leo

We ndio sababu nadunda mpaka leo

Ooooh nikukumbuke

Kwenye raha sio nikiumwa tu

Ama nikiwa na shida tu

Uuuh kama nina miguu miwili

Umenipa mikono miwili

Hapa nipo na macho naona

Onaaa mimi

Mimi ni nani nisiyeweza nisiyejua

Hata kushukuru

Mimi ni yupi nisiyeweza

Nisiyejua hata shukrani

Leo mapema I say

Aaah asante

Eeeh Eeeh Asante

Oooh Oooh Asante

Uuuh Uuuh Asante

Leave a Comment