LYRICS

AbduKiba Ft Vanillah X AliKiba – Muda Lyrics

AbduKiba Ft Vanillah X AliKiba - Muda Lyrics

“Explore and Delight in the Lyrics of ‘Muda‘ by Abdu Kiba Ft. Vanillah & Ali Kiba, a Song Embraced by Fans in Tanzania and Beyond.”

RELATED: Bien – Ma Cherie Lyrics

AbduKiba Ft Vanillah X AliKiba – Muda Lyrics

Nikiona zinanipandisha midadi

Nikiona pesa zinapandisha midadi

Nikiona zinanipandisha midadi

Nikiona pesa zinapandisha midadi

Kama kununa nishanuna sana

Ni muda wa kucheka aaah

Kama Julia nishalia sana

Ni muda wa kucheka Aaaah

Kama kununa nishanuna sana

Ni muda wa kucheka aaah

Kama Julia nishalia sana

Ni muda wa kucheka Aaaah

Iiiii nishalia sana

Ni muda wa kucheka Aaaah Aaah

Shida za nini we usikonde

Mwembamba kama mimi au kibonge

Njoo tuchome maini we usikonde

Talaalila taraaa heiiiii

Sasa ni Tarehe za mshahara

Na starehe na starehe

Sasa ni Tarehe za mshahara

Na starehe na starehe

Sasa ni Tarehe za mshahara

Na starehe na starehe

Sasa ni Tarehe za mshahara

Na starehe na starehe

Sasa ni Tarehe za mshahara

Na starehe na starehe

Nikiona zinanipandisha midadi

Nikiona pesa zinapandisha midadi

Nikiona zinanipandisha midadi

Nikiona pesa zinapandisha midadi

Nikiona zinanipandisha midadi

Nikiona pesa zinapandisha midadi

Nikiona zinanipandisha midadi

Nikiona pesa zinapandisha midadi

Muda muda muda ndo huu muda

Wakucheka

Nacheka Nacheka kucheka Nacheka muda

Nishachoka sana

Huu ndo muda wa kucheka

Na maokoto ya mwezi mwezi mwezi

Naenjoy

Mamacyegoo yego yegooooh

Sasa ni Tarehe za mshahara

Na starehe na starehe

Sasa ni Tarehe za mshahara

Na starehe na starehe

Sasa ni Tarehe za mshahara

Na starehe na starehe

Sasa ni Tarehe za mshahara

Na starehe na starehe

Sasa ni Tarehe za mshahara

Na starehe na starehe

Nikiona zinanipandisha midadi

Nikiona pesa zinapandisha midadi

Nikiona zinanipandisha midadi

Nikiona pesa zinapandisha midadi

1 Comment

Leave a Comment