LYRICS

Rayvanny Ft DJ Joozey X S2kizzy – Sisi LYRICS

Rayvanny Ft DJ Joozey X S2kizzy – Sisi LYRICS

Take pleasure in reading the lyrics of the song “Sisi” by Rayvanny, Dj Joozey, and S2kizzy. This track has garnered a positive reception from fans across East Africa.

RELATED: Diamond Platnumz – Shu! Ft Chley Lyrics

Rayvanny Ft DJ Joozey X S2kizzy – Sisi LYRICS

Raha kulewa mbele ya maadui zako

Raha kulewa mbele ya maadui zako

Raha kulewa mbele ya maex zako

Raha kulewa mbele ya maex zako

Iii eeh

Chuii eeh

Vanny boy

S2kizzy bab

Hivi unaakili wewe zinacharge kweli

Yani uko na bebe inaminyama

Tukuachia mwenywe

Hivi unaakili wewe zinacharge kweli

Yani uko na bebe inaminyama

Tukuachie mwenywe

Hivi unaakili wewe zinacharge kweli

Yani uko nadanga linamiela tukuachie mwenyewe

Hivi unaakili wewe zinacharge kweli

Yani uko na danga linamiela tukuachie mwenyewe

Eeeh

Eeh

Raha kulewa mbele ya maadui zako

Raha kulewa mbele ya maadui zako

Raha kulewa mbele ya maex zako

Raha kulewa mbele ya maex zako

Shoot kila kitu watuone

Tunavo kula bata iwachome

Sisi sio level zao watuone

Bado wananuka maziwa watoto wa waganyoni

Sisi awoo

Eeeh sisi awo

Sisi awo sio wengine ni sisi awoo

Sisi awoo

Eeeh sisi awo

Sisi awo sio wengine ni sisi awo

Raha kulewa mbele ya maadui zako

Raha kulewa mbele ya maadui zako

Raha kulewa mbele ya maex zako

Raha kulewa mbele ya maex zako

Shoot kila kitu watuone

Tunavo kula bata iwachome

Sisi sio level zaoo watukome

Bado wananuka maziwa watoto wakanyonye

Sisi awoo

Eeeh sisi awo

Sisi awo sio wengine ni sisi awo

Sisi awo

Eeeh sisi awo

Sisi awo sio wengine ni sisi awo

Leave a Comment