LYRICS

Madee – Staki Mziki Lyrics

Madee - Staki Mziki Lyrics

Staki Mziki” is a popular song by Madee that has received great acclaim from fans in Tanzania and beyond.

RELATED: Diamond Platnumz – My Baby (Remix) Ft Chike Lyrics

Here are the lyrics for you to read and sing along:

Madee – Staki Mziki Lyrics

Staki tena mziki

Staki tena mziki

Staki tena kuimba

Staki staki

Nimeachana na mziki

Nimeachana na mziki

Naona umenishinda

Staki staki

Staki tena mziki

Staki tena mziki

Staki tena kuimba

Staki staki

Nimeachana na mziki

Nimeachana na mziki

Kiukweli umenishinda

Staki staki

Oya wana nipe michano nauliza kwa mfano

Huwezi pata hit mpaka uimbe Amapiano

Ama nifanye kiki nidanganye mashabiki

Instagram niko safi kumbe home kuna dhiki

Mziki hauko fresh tunakwenda sana race

Wana wengi wamekufa kwa madawa na mastress

Nshawahi pata kesi kumtusi mwanajeshi

Ngoma zinalia sana baa alafu hakuna cash

Toka niache mziki nna magari kibao

Toka niache mziki nna majumba kibao

Toka niache mziki nna madeal kibao

Kwa sasa nawachora wale wajinga wali wao

Staki tena mziki

Staki tena mziki

Staki tena kuimba

Staki staki

Nimeachana na mziki

Nimeachana na mziki

Naona umenishinda

Staki staki

Staki tena mziki

Staki tena mziki

Staki tena kuimba

Staki staki

Watch the video below;

Nimeachana na mziki

Nimeachana na mziki

Naona umenishinda

Staki staki

Promota anapiga simu nikafanye show

Ona mtu wa kati fala nae anataka doooh

Na kama hauna stimu nalo bonge la sooo

Viewers you can buy Tandale Kariakoo

Staki tena mziki umenipa dhiki

Umenipa maadui ukanipora marafiki

Staki tena mziki nangoja hatimiliki

Ndo mana mwaka jana niligombana na Nikki

Kama umekupa cash huu mziki achana nao

Vanessa Master Jay wote wameachana nao

Na kama hauna cash huu mziki achana nao

Mzee Yussuf si alirudi ashaachana nao

Staki tena mziki

Staki tena mziki

Staki tena kuimba

Staki staki

Nimeachana na mziki

Nimeachana na mziki

Naona umenishinda

Staki staki

Staki tena mziki

Staki tena mziki

Staki tena kuimba

Staki staki

Nimeachana na mziki

Nimeachana na mziki

Kiukweli umenishinda

Staki staki

Leave a Comment