LYRICS

Zuchu – Napambana LYRICS

Zuchu – Napambana LYRICS

Zuchu, a fast-rising female artist from Tanzania and member of WCB Wasafi Records, has recently released a new song titled “Napambana,” which was produced by Mocco Genius.

RELATED: Zuchu – Utaniua

Today on March 3, Tanzanian artist Zuchu released a new single titled “Napambana.” This mid-tempo Afropop track blends traditional Tanzanian rhythms with modern production. The song’s theme revolves around having faith in the face of life’s challenges. Its catchy chorus and memorable instrumental breakdown add to its appeal.

Zuchu – Napambana LYRICS

DOWNLOAD MP3

Naamka asubuhi sina ata buku sh dala
Chakukila sijui bora ata pakulala
Nyumbani matandabui mende wamefanya utawala
Na mjomba panya haelewi ridhiki yake hasara
Eeh! Kwacha kwacha nakwenda nakwenda
Sijakubali kudoda hii ngoma isambii
Na ndoto za alinacha sijapenda sijapenda
Aliekupa kigoda mie atanipa kumbi

Nipate ntoke patupu (kawaida hiyo)
Siku nzima niambulie buku (yakwangu sijaiba hiyo)
Husiniulize naishije mjini (napambana)
Niokote machupa niuze siso (napambana)
Ata nkidanga jamani hacheni(napambana)
Niwe kondana ubungo migomigo (napambana)
Aaah eeeh iiih (napambana)
Aaah eeeh oooh (napambana)

Maji ya mdimu maji ya mdimu (saga saga saga saga)
Eeh Mungu wangu baba baba baba
Ziitikie dua zetu waja
Wapate magari sita nane saba
Tuvae gucci fend namikwada
Wewe acha kumbwela
Mungu habagui anawapa hadi ngedere
Uh wewe (wewe tafuta hela wanaokudharau watakuheshimu mbele)

Eh! Nipate ntoke patupu (kawaida hiyo)
Eti Siku nzima niambulie buku (yakwangu sijaiba hiyo)
Husiniulize naishije mjini (napambana)
Niokote machupa niuze siso (napambana)
Ata nkidanga jamani hacheni(napambana)
Niwe kondana ubungo migomigo (napambana)
Aaah eeeh iiih (napambana)
Aaah eeeh oooh (napambana)
Mikono juu mikono juu mikono juu
Wapambanaji mikono juu mikono juu

Sasa husimcheke aloshindia chunga
(Aliekula kala)
We wa biriani shibe hile hile (aliekula kala)
Maharage roho ugali kilo kumi (aliekula kala)
Ukikula pizza bagger shibe hile hile (alikula kala)
Mama aliekula kala (alikula kala)
Aah aliekula kala (alikula kala)

Also, check more tracks from Zuchu;

Leave a Comment