LYRICS

Rayvanny – Nateswa LYRICS

Rayvanny – Nateswa LYRICS

Tanzanian Bongo Fleva artist, songwriter, singer, and WCB Wasafi record label ex-member, Rayvanny unleashed a new unplugged Session song titled, Nateswa.

RELATED: Rayvanny – Nitongoze Ft Diamond Platnumz (Prod. S2kizzy)

Rayvanny – Nateswa LYRICS

Hivi nachezea rhumba ama bolingo nangai
Maana nina kiwembe kwenye vita ya masai
Wanitesa mchumba nimependa sishangai
Penzi kitovu uzembe mi nalia we furahi
Ila musiende nyumbani za wageni walete nyumbani kwangu
Chunga taratibu na chaga msije vunja kitanda changu
Nimekunulia na feni msisweti mke wangu
Kama majasho mkimwaga litumie taulo langu

Naaa Baya lako zuri kwangu yote nimekusamehe
Kosa la kwako lawama kwangu acha tu nijitetee
Furaha yako furaha yangu sipendi unyong’onyee
Ukimpenda rafiki yangu sema nikutongezee
Utamu wa pipi ni mate yangu wapika na mimi wanakula wenzangu
Ona nakosa siti kwenye gari langu
Kuleni embe acheni kokwa langu

Nateswa nateswa mwenzenu
Nateswa na mapenzi
Jamani nateswa nateswa mwenzenu
Nateswa na mapenzi

Mapenzi anapanga maanani sitaki kuruka kuruka
Sawa ni pande kichwani ukichota itashuka
Niite mfanyakazi wa ndani huna haja kusumbuka
Kwani anakuja muda gani niwatandikie shuka
Siogopi kushare ila usisahau kinga
Japo kwangu fedheha kuku wa chando nashinda
Kweli wanionea nakubali we ndo bingwa
Nipo radhi kulea kama wakikupa mimba

Naaa Baya lako zuri kwangu yote nimekusamehe
Kosa la kwako lawama kwangu acha tu nijitetee
Furaha yako furaha yangu sipendi unyong’onyee
Ukimpenda rafiki yangu sema nikutongezee
Utamu wa pipi ni mate yangu wapika na mimi wanakula wenzangu
Ona nakosa siti kwenye gari langu
Kuleni embe acheni kokwa langu

Nateswa nateswa mwenzenu
Nateswa na mapenzi
Jamani nateswa nateswa mwenzenu
Nateswa na mapenzi

Also, check more tracks from Diamond Platnumz;

Leave a Comment