LYRICS

Rayvanny – Mwamba LYRICS

Rayvanny – Mwamba LYRICS

Tanzanian Bongo Fleva artist, songwriter, singer, and WCB Wasafi record label ex-member, Rayvanny released a new brand new hit titled, “Mwamba (Unplugged Session)”.

RELATED: Rayvanny – Mtoto (Unplugged Session)

Rayvanny – Mwamba LYRICS

Namleta shemeji yenu mumuone
Namleta shemeji yenu mumuone
Mwamba huyu hapa mwamba huyu hapa mwamba huyu hapa
Namleta shemeji yenu mumuone
Namleta shemeji yenu mumuone
Mwamba huyu hapa mwamba huyu hapa mwamba huyu hapa

Mara akivaa ozi mwamba hana matatizo mwamba
Tajiri hana baya mwamba yaani amenyooka mwamba
Nilizunguka kila kona kutafuta furaha ya moyo
Mungu kanipa yeye anayenifaa
Wambea najua inawachoma mukaroge Tanga Bagamoyo
Mungu Kapanga yeye hauwezi kukataa
Namkumbatia hamnifanyi chochote tena
namshika namchumu hamsemi chochote
Nambeba pia hamnifanyi chochote huyu wangu
Natamba simwogopi yeyote
Mama Amina Bele Amina Belebele
Mama Amina Bele Amina Belebele

Mwache apite mbele apite mbele mbele
Mwache apite mbele apite mbele mbele
Namleta shemeji yenu mumuone Namleta shemeji yenu mumuone
Mwamba huyu hapa mwamba huyu hapa mwamba huyu hapa

Namleta shemeji yenu mumuone Namleta shemeji yenu
Mumuone mwamba huyu hapa mwamba huyu hapa mwamba huyu hapa
Hana kipele mwamba sio baili
Mwamba tena hajarogwa mwamba tajiri amenoga
Nilizunguka kila kona kutafuta furaha ya moyo
Mungu kanipa yeye anayenifaa
Wambea najua inawachoma mukaroge Tanga Bagamoyo
Mungu Kapanga yeye hauwezi kukataa

Namkumbatia hamnifanyi chochote tena
Namshika namchumu hamsemi chochote
Nambeba pia hamnifanyi chochote huyu wangu
Natamba simwogopi yeyote

Mama Amina Bele Amina Belebele
Mama Amina Bele Amina Belebele
Mwache apite mbele apite mbele mbele
Mwache apite mbele apite mbele mbele

Namleta shemeji yenu mumuone
Namleta shemeji yenu mumuone mwamba huyu
Hapa mwamba huyu hapa mwamba huyu hapa
Namleta shemeji yenu mumuone
Namleta shemeji yenu mumuone
Mwamba huyu hapa mwamba huyu hapa mwamba huyu hapa

Also, check more tracks from Diamond Platnumz;

Leave a Comment