LYRICS

Ommy Dimpoz – Moyo LYRICS

Ommy Dimpoz – Moyo LYRICS

Tanzanian Bongo Flava, AfroBeat Artist and songwriter signed under Rockstar, Omary Faraji Nyembo popularly known by his stage name Ommy Dimpoz came back with a new song titled, Moyo.

RELATED: Ommy Dimpoz – Magdalene Ft Julio Masidi

Ommy Dimpoz – Moyo LYRICS

Oooh lalalaa
Lelelele
Lololo

Sikia sikia aah sikia moyo
Jishike tabia
Tulia tulia wee tulia moyo
Jichunge tabia
Mi nilidhani kazi kusukuma damu
Sasa naona mauzauza mambo tofauti
Chakwangu kidogo huridhiki nacho
Unapenda vikubwa
Utaniponza moyo,moyo
Vitamu vinono kutolea macho
Utaniponza moyo
Wee moyo,moyo,moyo moyo

Wengine umefanya wamepotelea jela
Sababu yako moyo,moyo,moyo
Na Wengine wameshindwa wakasaliti zao ndoa
Sababu yako moyo

Moyo wangu mie
Moyo
Punguza Tamaa
Moyo
Jifunze kuvumilia
Moyo
Utaniumiza
Moyo wangu mie
Moyo
Kuna kitu unatamaa
Moyo
Jifunze kutulia
Moyo
Unataka nipeleka wapi wooo wowo
Unataka kushindana na Dunia
Oooh na Dunia
Usifate ya mitandao kila mutu tajiri
Vingine fumbia macho
Usitazame muke wa mutu huyo
Ridhika ukipatacho
Tamaa zako zitaniponza moyo

Wengine umefanya wamepotelea jela
Sababu yako moyo,moyo,moyo
Na Wengine wameshindwa wakasaliti zao ndoa
Sababu yako moyo

Moyo wangu mie
Moyo
Punguza Tamaa
Moyo
Jifunze kuvumilia
Moyo
Utaniumiza
Moyo wangu mie
Moyo
Kuna kitu unatamaa
Moyo
Jifunze kutulia
Moyo
Unataka nipeleka wapi wooo wowo

Also, check out more from Ommy Dimpoz;

Leave a Comment