LYRICS

Mbosso – Pole LYRICS Ft Ruby

Mbosso – Pole LYRICS Ft Ruby

Tanzanian recording artist and former Yamoto Band member currently signed under WCB Wasafi, Mbwana Yusuph Kilungi better known as Mbosso is back with a new song titled, Pole.

Mbosso – Pole LYRICS Ft Ruby

DOWNLOAD MP3

Na nusder tena
(Nusder)

Ooh sweet sweet sweet nisikilize
Sweet sweet niseme nimaliza
Mungu ametukutanisha sweet
Anamaana yakee
Mungu katuunganisha sweet wewe
Kwa neema zake

I told my mom i want to marry you
Nitakuja kwenu nitoe mahali
Mi na we tuanze safari ya mbali kina
Mbaazi na choroko utofauti utaujua
Jungu juu wake ukoko yanini kukwangua
Mie ndama kwako mtoto husije kunikafua
Penzi tulipashe moto wakigusa waungua
Mithiri ya watoto mapacha tunavyopendana
Mambo ya uzungu na usasa tunayopeana
Penzi twalivujisha pakacha tunavujiana
Wale wenye uchu wa paka ili penzi lawakwama

Baby nasikia twawaumiza
Pole tunawapa pole
Penzi lawakereketa
Pole tunawapa pole
Ooh hasidi watu wabaya
Pole tunawapa pole
Wameze panado pengine watapoa
Pole tunawapa pole
Eeh eheeh

Sweet sweet sweet nisikilize
Sweet ayiih sweet nami nikujuze
Eyh shubiri shubiri chungu honey
Nashindwa kuficha siri yetu yachumbani
We baba umekithiri mahabani
Akili yangu na mwili tahabani
Eyh penzi upepo lapepea (pepe)
Honey twende mbali (pepe)
Kuni nitazichochea (choche)
Baby uje tupae walii
Mithiri ya watoto mapachaa
Tunavyopendana
Mambo ya uzungu na usasa
Tunayopeana
Penzi linavuja kwa pakacha
Tunavujiana
Wale wenye uchu wa paka
Hili penzi lawakwama

Baby nasikia twawaumiza
Pole tunawapa pole
Penzi lawakereketa
Pole tunawapa pole
Ooh hasidi watu wabaya
Pole tunawapa pole
Wameze panado pengine watapoa
Pole tunawapa pole

Also, check more tracks from Mbosso;

Leave a Comment