LYRICS

Barnaba Ft Nandy – Tamu Lyrics

Barnaba Ft Nandy - Tamu Lyrics
Barnaba Ft Nandy – Tamu Lyrics

VERSE 1

Penzi langu walihudi halihudi lanukia kumpenda sina budi,

Nitangaze hadharani ikibidi tufanye makusudi

Hatuogopi tantalila zao maneno nchajao

wanafanya maneno baby si tufanye matendo

BRIDGE

Imani nilonayo ilitengenezwa na wewe huko nyuma

nilianguka ukaniokota ukanipangusa,

upendo tulonao umetengenezwa na mimi na wewe

Hapo nyuma walituangusha tukanyanyanyuka

CHORUS

Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu, neno penzi kwangu tamu Jama mapenzi matamu

Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu, neno penzi kwangu tamu Jama mapenzi matamu

VERSE 2

Oooh papa kwenye moyo wangu ushaweka alama na chata, kukupenda wewe sina shaka aaah aaah mmmh

Kwenye akili yangu ni wewe peke yako umenikaa kwingine roho inakataa,

Moyo umekuamini maana huniishi akilini sijui umenipa nini

Au umentupia ka jini ndo maana umeniwin maana huniishi akilini

BRIDGE

Imani nilonayo ilitengenezwa na wewe huko nyuma nilianguka ukaniokota ukanipangusa,

upendo tulonao umetengenezwa na mimi na wewe

Hapo nyuma walituangusha tukanyanyanyuka

CHORUS

Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu, neno penzi kwangu tamu Jama mapenzi matamu

Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu, neno penzi kwangu tamu Jama mapenzi matamu

Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu, neno penzi kwangu tamu Jama mapenzi matamu

Penzi tamu, neno penzi kwangu tamu, neno penzi kwangu tamu Jama mapenzi matamu

Leave a Comment