LYRICS

K2ga – Rangi Rangi LYRICS

K2ga – Rangi Rangi LYRICS

DOWNLOAD MP3

K2ga – Rangi Rangi LYRICS

Matam, mapenzi matam
Raha zimeshamili kaa mnwvyo ona
Jamani matam
Vitam, napewa vitam
Usione nanawili, usione nanona
Napewa vitam
Penzi lipambwe na waridi
Nogesha na udi mambo hayaa
Mpenzi nikinge na baridi
Maana likizidi hali mbaya huuuuu
Mapenzi yetu ya rangi rangi yanapendeza sana
Na kwako nimeweka kambi ayaaaa
Moyo unashahidi mwandani wangu
Wewe ndio my habity feraha yangu
Moyo unashahidi mwandani wangu
Wewe ndio my habity feraha yangu

Me kwake yeye
I’m in love
Tunapendana
Ringa ringa mamaa
Walushe rohoo
Tunapendana
Mimi na yeye
Kuachana mwiko
Tunapendana
Ringa ringa mamaa
Walushe rohoo
Tunapendana

Kwenye mito milima
Nitavuka naee aah
Uwezo wa karima nitadumu nae
Kashika nyama na mifupa kaapa nitazikwa naee
Mapenzi ya raha kuchi kuchi hotaee
Na lake huba analo nipa
Me sijaona kama yeeh
Mapenzi ya raha
Couple yetu imenoga ipo ng’aring’ari
Bila ya ndumba kuroga twayanza safari
Baby ulipo name nipo we pipa me ndo mfuniko
Tushakulaga kiapo
Kuachana mr nawe mwiko huuuuu
Mapenzi yetu ya rangi rangi yanapendeza sana
Na kwako nimeweka kambi ayaaaa
Moyo unashahidi mwandani wangu
Wewe ndio my habity feraha yangu
Moyo unashahidi mwandani wangu
Wewe ndio my habity feraha yangu

Me kwake yeye
I’m in love
Tunapendana
Ringa ringa mamaa
Walushe rohoo
Tunapendana
Mimi na yeye
Kuachana mwiko
Tunapendana
Ringa ringa mamaa
Walushe rohoo
Tunapendana

Also, check more tracks from Alikiba;

Leave a Comment