LYRICS

Rayvanny Ft Diamond Platnumz – Vumbi LYRICS

Rayvanny Ft Diamond Platnumz – Vumbi LYRICS

DOWNLOAD MP3

Rayvanny Ft Diamond Platnumz – Vumbi LYRICS

Kimbunga hicho
Kimbunga hicho
Kimbunga hicho
Yaani tunazoa zoa

Its S2kizzy beiby

Mwaga jasho miguu iwake moto
Timua vumbi, timua!
Kisigino kibebwe na ugoko
Timua vumbi, timua!

Ruka ruka tusiamshe popo
Timua vumbi, timua!
Vua shati ukisikia joto
Timua vumbi, timua!

Saa tunakisanua, vumbi!
Tunawachafua, vumbi!
Tunawapa mafua, vumbi!
Vumbi, timua vumbi!

Tunakata funua, vumbi!
Wakazingua, vumbi!
Tunawapa mafua, vumbi!
Vumbi, timua vumbi!

Wanatukimbiza Wasafi eeh
Wapo makundi makundi
Lakini hawatupati eeh
Tunawaachia vumbi

Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!

Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!

Oooh kama mashine ya koboa mpunga
Timua vumbi, timua!
Aah Tsunami changanya na kimbunga
Timua vumbi, timua!

Kama gwaride ka la jeshi, timua
Kwa mchanga simiti, timua
Chana jamvi kapeti, timua
Timua vumbi, timua

Timua mchanga
Kama unalicheza vanga
Mzuka ukipanda
Vua shati kama mwanga

Timua mchanga
Kama unalicheza vanga
Mzuka ukipanda
Vua shati kama mwanga

Asa kachili saga, saga saga
Kamatia zaga, zaga zaga
Nisugulie gaga, gaga gaga
Kinaga ubaga, twende Timua!

Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!

Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!
Timua vumbi, timua!

Mwendo kama farasi
Ooh ooh tunawatimua timua!
Kasi kama risasi
Ooh ooh tunawatimua timua!

Tuko nduki kibati
Ooh ooh tunawatimua timua!
Hawatukamati
Ooh ooh tunawatimua timua!

Shika! Hasa kitimue, timu! timu!
Yaani chimba, timu timu!
Fukua fukua, timu! timu!
Chimba chimba, timu! timu!

Eeeh vidole chepeo, timu! timu!
Kiuno mpini, timu! timu!
Fanya kama goleo, timu! timu!
Ifukue kwa chini, timu! timu!

Also check more tracks from Rayvanny VannyBoy;

Leave a Comment