ENTERTAINMENT

Morgan Heritage watangaza Collabo mpya na Diamond Platnumz

Morgan Heritage watangaza Collabo mpya na Diamond Platnumz

Kundi hatari kabisa la muziki kutoka nchi ya Jamaica, Morgan Heritage wametangaza kutoa collabo nyingine mpya na msanii nguli wa Bongo Fleva kutoka katika lebo ya WCB Wasafi, Diamond Platnumz.

RELATED: Diamond Platnumz – Hallelujah Ft Morgan Heritage

Kupitia ukurusa wao instagram , wameeleza mashibiki wake kuwa tayari kwa collabo kali kutoka kwao mwaka huu 2022.

“Mko tayari kwa collabo ingine na kaka yetu @diamondplatnumz? @gotmojomorgan anapoungana na Simba unajua tuko na kitu kali,” Heritage Morgan ilisema

Kundi la Morgan Heritage lina wasanii watano ambao ni watoto wa msanii Denroy Morgan ambaye alihamia Marekani kufanikisha safari ya muziki.

RELATED: The Ben – Why Ft Diamond Platnumz

Ikumbukwe si mara yao ya kwanza kufanya Collabo na Diamond ambapo wamefanya collabo ambayo mwaka huo iliibuika kuwa miongoni mwa nyimbo zilizotamba sana.

Also, check more tracks from Diamond Platnumz;

Leave a Comment