LYRICS

Zabron Singers – Sweetie Sweetie! LYRICS

Zabron Singers – Sweetie Sweetie! LYRICS

DOWNLOAD MP3

Zabron Singers – Sweetie Sweetie! LYRICS

Hatimaye ni leo, ni siku yetu
Siku yetu muhimu, harusi yetu
Uwepo wenu nyote hehee
Kwetu ni kitu

Kwetu ninyi ni ndugu
Leo na kesho

Harusi maua
Ng’ari ng’ari wanapendeza
Leo ni furaha shangwe na furaha

Harusi maua hee
Tabasamu suti na shela
Wacha tufurahi, sote tufurahi

Sweetie, sweetie, sweetie
Haikuwa rahisi
Tufike leo hii

Na hapa tulipo
Ndio siku yetu uuh
Ipo muhimu uuh
Ya harusi

Sweetie, sweetie baby
Haikuwa rahisi
Tufike eeh leo hii

Na hapa tulipo
Ndio siku yetu uuh
Ipo muhimu uuh
Ya harusi

Sasa nyumba moja, mwili mmoja
Kila kitu ni moja, tuwe pamoja
Upendo naongeza, nawe ongeza
Heshima napandisha, tuwe pamoja

Sweetie, sweetie baby
Haikuwa rahisi
Tufike eeh leo hii

Sasa wewe ni mimi
Mimi ni wewe
We ndo mwandani wangu
Rafiki yangu

Sasa wewe ni mimi
Mimi ni wewe
We ndo mwandani wangu
Rafiki yangu

Na wazazi wameona, wakaturuhusu
Kwa furaha wakasema hee
Tumewabariki

Na mwenyezi Maulana
Atatubariki
Tukazae na tulee hehee
Watoto wazuri

Sasa wewe ni mimi
Mimi ni wewe
We ndo mwandani wangu
Rafiki yangu

Sweetie, sweetie, sweetie
Haikuwa rahisi
Tufike leo hii

Na hapa tulipo
Ndio siku yetu uuh
Ipo muhimu uuh
Ya harusi

Sweetie, sweetie baby
Haikuwa rahisi
Tufike eeh leo hii

Na hapa tulipo
Ndio siku yetu uuh
Ipo muhimu uuh
Ya harusi

Sasa nyumba moja, mwili mmoja
Kila kitu ni moja, tuwe pamoja
Upendo naongeza, nawe ongeza
Heshima napandisha, tuwe pamoja

Sweetie, sweetie, sweetie
Haikuwa rahisi
Tufike leo hii

Ya ndoa mengi mengi, tupande nayo
Sweetie nikuheshimu, uniheshimu
Mahaba moto moto, yawe ni wimbo
Kwetu yawe waridi, yakanukie

Walikuwepo, walitamani
Nao wakafunga harusi, wakapalangana
Haikuwezekanaa

Kama si Mungu, tusingefika hapa
Na kufurahi hivi
Na leo ni leo mambo sasa ni mambo

Sweetie, sweetie, sweetie
Haikuwa rahisi
Tufike hee leo hii

Na hapa tulipo
Ndio siku yetu uuh
Ipo muhimu uuh
Ya harusi

Sweetie, sweetie baby
Haikuwa rahisi
Tufike eeh leo hii

Na hapa tulipo
Ndio siku yetu uuh
Ipo muhimu uuh
Ya harusi

Sasa nyumba moja, mwili mmoja
Kila kitu ni moja, tuwe pamoja
Upendo naongeza, nawe ongeza
Heshima napandisha, tuwe pamoja

Na tutakumbushana, kukaa na Mungu
Familia ya Mungu, hujaa upendo
Wema kwa ndugu wote wa pande zote
Tutapendwa na wote hata na Mungu

Also, check more tracks from Zabron Singers;

Leave a Comment