LYRICS

Wawa Salegy – Moto LYRICS Ft. Diamond Platnumz

Wawa Salegy - Moto LYRICS Ft. Diamond Platnumz

DOWNLOAD MP3

Wawa Salegy – Moto LYRICS Ft. Diamond Platnumz

Nasema moto moto(moto)
Tunauwasha(moto)
Hauzimiki(moto)
Nasema moto(moto)

Jamani moto moto(moto)
Watoto wa Tandale(moto)
Watoto wa Kinondoni(moto)
Wanangu wa Mbagala(moto)

Asa timua vumbi
Oga vumbi
Wahuni vumbi
Mi sijaona vumbi

Watimulie vumbi, We!

Asa koboa koboa, naisaga
Naikoboa koboa, naisaga
Nasema koboa koboa, naisaga
Asa koboa koboa, naisaga

Twende koboa koboa, naisaga
Yaani koboa koboa,naisaga
We ikoboe kwa chini, naisaga
Naikoboe kwa juu, naisaga

We ikoboe kwa mbele, naisaga
Eeh ikoboe kwa nyuma, naisaga
Aruup!

Oya ni bia tu moja imemponza
Kimbele mbele
Kajipeleka tu mwenyewe hajatongozwa
Kimbele mbele

Majambo, wamemnawa
Wahuni, wamemnawa
Oh wazee wa chodo, wamemnawa
Wakimakondi, wamemnawa

Wakandundindu, wamemnawa
Wale pale, wamemnawa
Wajerumani, wamemnawa
Wazee wa ndindi

Moto moto(moto)
Moto moto(moto)
Moto moto(moto)
Moto moto(moto)

Also, check more tracks from Diamond Platnumz;

Leave a Comment