LYRICS

Nandy – Party LYRICS Ft Billnass X Mr Eazi

Nandy – Party LYRICS Ft Billnass X Mr Eazi

DOWNLOAD MP3

Nandy – Party LYRICS Ft Billnass X Mr Eazi

Leta divai leta mvinyo
Tuone maisha vile yalivyo
Nataka nifurahi na my people
Pombe gani mr bibo?

Ya nini nijibane, shida zote za nini
Nitafute kwa taabu nile kwa taabu kwanini
Acha nitukane tena kwa kujiamini
Kama pesa ya kwangu maisha ya kwangu my baby

Call me when you ready
I just wanna get ready
Venye uko sexy sijiwezi
You are the only one my baby

I need you on bed
Leo nitakuwa Mbezi
Baada ya club, kwani zile two in one
Home kinyamwezi

Leo sisi hatulali mpaka giza totoro
Oya wana hatulali, tunapita kila chochoro
Leo sisi hatulali mpaka giza totoro
Oya wana hatulali, tunapita kila chochoro

Mpaka giza totoro
Tunapita kila chochoro

Be my wale…
Tuone maisha vile yalivyo
I play my shit a million jale
Pombe gani mr bibo?

Ona my girl she her
Mpe baba dry ila ganja mpe mixer
Ona mashetani napandisha
Nishauza godoro na ile neti ilotanikwa

Hii collabo ina baraka ni princess na mimi
Tunabring oldskul na kina Prince Madini
Nashangaa watoto wadogo wana battle na mimi
Kila kitu ruhusa watasema ni speech ya Mwinyi

Wazimie data maana watawasha VPN
Mi nadhani hakuna jipya hilo
Ila wao ndo wageni
Mashokolo madem, watoto jipangeni
Hakuna msoto bila brain
Nauka miko mikocheni

Leo sisi hatulali mpaka giza totoro
Oya wana hatulali, tunapita kila chochoro
Leo sisi hatulali mpaka giza totoro
Oya wana hatulali, tunapita kila chochoro

Mpaka giza totoro
Tunapita kila chochoro

You know say I got the stamina
Bongo chochote si tunapita
You know say I got the stamina
Bongo chochote si tunapita

Leo sisi hatulali mpaka giza totoro
Oya wana hatulali, tunapita kila chochoro
Leo sisi hatulali mpaka giza totoro
Oya wana hatulali, tunapita kila chochoro

Also, check more tracks from Nandy;

Leave a Comment