LYRICS

Nandy Ft Sho Madjozi – Kunjani LYRICS

Nandy Ft Sho Madjozi – Kunjani LYRICS

DOWNLOAD MP3

Nandy Ft Sho Madjozi – Kunjani LYRICS

Eeh….shii!
Okay okay okay
Wananijua mi ni number one
Control manongazi ndani
Hii flow hamuonekani

Sowonama, kunjani
Haibo aii, kidogo
Asubuhi kachai mhogo
Haibo aii, kidogo
Asubuhi kachai mhogo

Sowonama, kunjani
Haibo aii, kidogo
Sowonama, kunjani
Haibo aii, kidogo

Sowonama, kunjani
Haibo aii, kidogo
Sowonama, kunjani
Haibo aii, kidogo

Hello!
Hello! Hujambo
Ndo nimeland hapa OR Tambo
Hello! Hujambo
Ndo nimeland hapa OR Tambo

Hello! Uko wapi?
Ndo nimefika na madem wangapi
Hello! Ni nani?
Tumekuja kukiwasha na nani

Sho Madjozi pisi kali amedamshi
Tuna fujo tumejaa kwenye gari
Tunakula bata wala hatujali
Alafu hawaamini navochapa Konyagi

Sho Madjozi ni samaki kwa maji
Sho Madjozi ni jogoo halali
Sho Madjozi ye ni ndege anafly
Wao wanasema watanishusha sidhani

Sowonama, kunjani
Haibo aii, kidogo
Sowonama, kunjani
Haibo aii, kidogo

Say —

Zulu language

Chezesha mido, chezesha mido
Chezesha macho, chezesha macho
Chezesha mido, chezesha mido
Chezesha macho, chezesha macho

Sowonama, kunjani
Haibo aii, kidogo
Sowonama, kunjani
Haibo aii, kidogo

Also, check more tracks from Nandy;

Leave a Comment