LYRICS

Nandy Ft Sauti Sol – Kiza Kinene LYRICS

Nandy Ft Sauti Sol – Kiza Kinene LYRICS

DOWNLOAD MP3

Nandy Ft Sauti Sol – Kiza Kinene LYRICS

Verse One
Kimambo on the beats
Kiherehere kimeniisha
Eeh nimekuwa simulizi kwa penzi lako
Waninanga wee
Zaidi yanisikitisha
Eti nimekuwa chuma cha kafuro
Nipo juu ya mawe

Jikoni kwangu kaingia mdudu gani?
Mara kwenye kikombe mara sahani
Ona katibua maji kisimani

Oooh salala
Huenda sio fungu langu nimekosea kuchagua
Masala
Nimezidisha chenji kimeota nyasi
Mbaghala
Nilipita dirisha nafasi kuigombania
Ah baba
Kumbe basi limejaa na mlango upo

Chorus
Haioni mboni yangu (Kiza kinene)
Kibatari utambi umetumbukia(Kiza kinene)
Yaila ghidira yangu(Kiza kinene)
Nimepekechwa nguzo niliyoegemea(Kiza kinene)
Ah…aah

Verse Two
I’ve been trying not to diss you
Mwenzako mimi nilikuwa sina issue mpenzi
Hope uko sawa, my darling

And I’ve been trying not to miss you
Ila unapoenda kutwa yangu maumivu
We yangu dawa, ooooh ooh

Chumbani kwangu kaingia kunguni gani?
Mara kwenye kitanda mara kwa shati
Aii, haya ni maruani
Yanafanya nakosa amani

Oooh salala
Huenda sio fungu langu nimekosea kuchagua
Masala
Tushazamisha meli yameisha
Mabega
Nitaambia nini waingo mukhana athire ena
Ingababwa
Nina mafeelings ingawa sijiwezi

Chorus
Hayaoni macho yangu(Kiza kinene)
Koroboi utambi umetumbukia(Kiza kinene)
Yaila ghidira yangu(Kiza kinene)
It never gonna be the same
No No No No oooh(Kiza kinene)

Also, check more tracks from Nandy;

Leave a Comment