LYRICS

Rich Mavoko – Ibaki stroy LYRICS

Rich Mavoko – Ibaki stroy LYRICS

DOWNLOAD MP3

Rich Mavoko – Ibaki stroy LYRICS

Matapishi ni kinyaa kuzirudisha tena kwenye kinywa
Japo mengi ulisema aah, kama nuru ghafla ukazima
Ikawa ngumu kukusahau, nikasema moyo ukome
Kwa kali sulu na madharau, penzi ulivunja na ngome

Na najua hata nikilia siwezi kutokwa na machozi
We ndo ulifanya macho yangu nione wengi waongo
Aa ukaudhurumu moyo wangu, uliuza penzi kwa magendo
Leo unatamani wewe kurudia ya zamani, ni ndoto
Wewe nirubuni kwa penzi la kidani kama mtoto

Mi na wewe, acha ibaki story mi na wee
Mapenzi mi na wewe, acha ibaki story mi na wewe
Mi na wewe, acha ibaki story mi na wee
Mapenzi mi na wewe, acha ibaki story mi na wewe

Kiliniumiza kitanda na shuka tuliolalia
Mapenzi yana siri kubwa, sishangai mtu akilia
Nimekubali mboni zangu zimtazame mwingine
Maridhia ya moyo wangu huenda si fungu pengine
Cha kushangaza hadharani mengi ya kuficha ukaweka wazi
Nikahisi sijui mapenzi, labda kwako sinogi nazi

Na najua hata nikilia, siwezi kutokwa na machozi
We ndo ulifanya macho yangu nione wengi waongo
Aah ukaudhurumu moyo wangu, uliuza penzi kwa magendo
Leo unatamani wewe kurudia ya zamani, ni ndoto
Wewe nirubuni kwa penzi la kidani kama mtoto

Mi na wewe, acha ibaki story mi na we
Mapenzi mi na wewe, acha ibaki story mi na wewe
Mi na wewe, acha ibaki story mi na we
Mapenzi mi na wewe, acha ibaki story mi na wewe

Yalinitesa mazoea aya
Lakini mi nishazoea mwaya
Ila tambua mapenzi mabaya
Kidonda chake hakinaga dawa
Ee mazoea aah
Lakini mi nishazoea mwaya
Ila tambua mapenzi mabaya
Kidonda chake hakinaga dawa

Mi na wewe, acha ibaki story mi na we
Mapenzi mi na wewe, uuh uuh
Mi na wewe, acha ibaki story mi na we
Mapenzi mi na wewe, ooh ooh

Also, check more tracks from Rich Mavoko;

Leave a Comment