LYRICS

Maua Sama – Baba Jeni LYRICS

Maua Sama – Baba Jeni LYRICS

DOWNLOAD MP3

Maua Sama – Baba Jeni LYRICS

Hivi wewe hufikiri hufikiri
Kuwa nawe siwezi, kweli siwezi
Kukupa moyo

Eti tuwe wawili wawili
Hizo share siwezi
Kwenye mapenzi utaniumiza moyo
Kwanza unanionaje pisi kali ya kwenda
Tena nina jina mimi
Nakuhifadhi unavimba, unavimba

Tena we na mashemeji
Akili kisoda aah kisoda
Niwe nawe wa nini
Hunifikishi Kigoma

Baba jeni bye bye, bye bye
Baba jeni bye bye, bye bye
Baba jeni bye bye, bye bye
Baba jeni bye bye, bye bye

Kwako nilijikwaa
Kimapenzi nilikusitiri tu mwenzangu
Basi show ata ungeweza
Ila nilituliza tu kamoyo kangu

Kebehi na gubu
Sina raha roho juu juu
Baba utaniua kibudu
Bora nidisappear

Ey umesema ndo nanona
Aloniteka amesoma
Master ya mapenzi
Sio Diploma ananipa mie

Tena we na mashemeji
Akili kisoda aah kisoda
Niwe nawe wa nini
Hunifikishi Kigoma

Baba jeni bye bye, bye bye
Baba jeni bye bye, bye bye
Baba jeni bye bye, bye bye
Baba jeni bye bye, bye bye

Bye bye, bye bye
Bye bye, bye bye

Also, check more tracks from Maua Sama;

Leave a Comment