LYRICS

Tommy Flavour – Jah Jah LYRICS Ft Alikiba

Tommy Flavour - Jah Jah LYRICS Ft Alikiba

DOWNLOAD MP3

Tommy Flavour – Jah Jah LYRICS Ft Alikiba

Oh Baba, Oh Baba
Naomba niongoze
Oh Jah Jaha, Oh Jah Jaha,
Nitakufata nisipotee

Kwenye mabalaa umenipitisha
Kwenye shida na njaa umenilisha
Wakatika niende chini wanipandisha
Mapenzi yako siwezi kufananisha

Bora nikushukuru Uuuh! Uhh! Uhh!
Acha nikushukuru Uuuh! Uhh! Uhh!
Bora nikushukuru Uuuh! Uhh! Uhh!
Acha nikushukuru Uuuh! Uhh! Uhh!
Baba baba babaa

Oluwa Oh Jah Jah
Wanijua kiundani
Ukinilinda maishani yeah
Sikulipi chochote
Sifuati yako yote
Ila bado ujaniacha, uko na mimi

Kwenye mabalaa umenipitisha
Kwenye shida na njaa umenilisha
Wakatika niende chini wanipandisha
Mapenzi yako siwezi kufananisha

Bora nikushukuru Uuuh! Uhh! Uhh!
Acha nikushukuru Uuuh! Uhh! Uhh!
Bora nikushukuru Uuuh! Uhh! Uhh!
Acha nikushukuru Uuuh! Uhh! Uhh!
Baba baba babaa

Oh Jah Jah (Jah Jah)
Oh Jah Jah (Jah Jah)
Acha nikushukuru (Jah Jah)
Acha nikushukuru (Jah Jah)

Acha nikushukuru Uuuh! Uhh! Uhh!
Acha nikushukuru Uuuh! Uhh! Uhh!
Acha nikushukuru Uuuh! Uhh! Uhh!

Also, check more tracks from Alikiba;

Leave a Comment