LYRICS

Nandy – Nimekuzoea LYRICS

Nandy - Nimekuzoea LYRICS

DOWNLOAD MP3

Nandy – Nimekuzoea LYRICS

Aiyayaa Aiyayaa Aiyayaa

Nikotulii baby kama maji ya mtungi
Nyonga puli baby nivute niishe nibaki kishungi (ayii)
Zuri baby nibandike nigande ka gundi
Makuli baby nilishe nishibe kitumbo ndindi (ayii)

Unanikoleza unanichombeza Unanilegeza ayii wee
Ukianzaga ndani unayaweza kitandani kwenye meza
Siunanigemeza wee

Nakupenda nakuwaza forever your my boo
Unipende nikupende

Nimekuzoea Nimekuzoea
Nime nime nime Nimekuzoea
Nimekuzoea Nimekuzoea
Nime nime nime Nimekuzoea

Kazoe vyote kote mpaka kazoe
Kabobea kote Kabobea mpaka Kabobea tena
Naloe kote naloe mpaka naloe
Inakolea yote inakolea tamu kukolea tena

Nipo katikati (ayayaa)
Nazungukwa na upendo (ayayaa)
Sa natokea wapi (ayayaa)
Kaziba kote ajaacha pengo (ayayaa)
Wanafikaga wapi (ayayaa)
Peku bila sendo (ayayaa)
Tufike saa ngapi (ayayaa)
Vyote tembea kwa wako mwendo (ayayaa)

Nakupenda nakuwaza forever your my boo
Unipende nikupende

Nimekuzoea Nimekuzoea
Nime nime nime Nimekuzoea
Nimekuzoea Nimekuzoea
Nime nime nime Nimekuzoea

Also check more tracks from Nandy;

Leave a Comment