LYRICS

Nadia Mukami – Wangu LYRICS Ft Sanaipei Tande

Nadia Mukami - Wangu LYRICS Ft Sanaipei Tande

GET AUDIO HERE

Nadia Mukami – Wangu LYRICS Ft Sanaipei Tande

(Nadia)
Wewe nani, unanipigia simu kama nani
Eti niachane mume wako nani
Unajua Nadia kweli mi ni nani?

(Sanaipei)
We ni nani, unampigia simu kama nani eeh
Ata utoe vya ndani
Atarudi hapa kwangu tu nyumbani eeh

(Nadia)
Anapenda vidogodogo
Mwenzako anavimumunya
Mwanamke unapenda zogo
Tafuta jambo hilo la kufanya

CHORUS
(Nadia)
Oh oh ni wangu
Huyu nasema ni wangu
Oh oh ni wangu
Kubali yaishe ni wangu

(Sanaipei)
Oh oh ni wangu
Huyu nasema ni wangu
Oh oh ni wangu
Mwishowe yataisha ni wangu

VERSE 2
(Sanaipei)
Hivo vimesegi na kuficha simu havinishtui
Atachoka nawe, kwengine aende, yule hakagui

(Nadia)
Kelele ya chura haizui ng’ombe kunywa maji
Kwangu habanduki
Kwako hatoboki
Nakwama naye

(Sanaipei)
Anapenda wife material
Mwenzako anakudanganya
Mwanamke una kasoro
Tafuta jambo hilo la kufanya

CHORUS
(Sanaipei)
Oh oh ni wangu
Huyu unasema ni wangu
Oh oh ni wangu
Mwishowe yataisha ni wangu

(Nadia)
Oh oh ni wangu
Huyu unasema ni wangu
Oh oh ni wangu
Kubali yaishe ni wangu

BRIDGE
(Nadia)
Mi sitakoma, koma, koma, koma
MI sitakoma koma koma mama ye

(Sanaipei)
Ntakukomoa komoa komoa komoa
Ntakukomoa komoa komoa msichana we

CHORUS
(Sanaipei)
Oh oh ni wangu
Huyu unasema ni wangu
Oh oh no wangu
Mwishowe yataisha ni wangu

(Nadia)
Oh oh ni wangu
Huyu unasema ni wangu
Oh oh ni wangu
Kubali yaishe ni wangu

Also check more tracks from Nadia Mukami;

Leave a Comment