ENTERTAINMENT

Diamond Platnumz kulipia familia 500 kodi za nyumba miezi 3

Kupitia account yake ya Instagram, Star wa muziki wa kizazi kipya anayetamba kwa wimbo wake mpya “Jeje” Diamond Platnumz ametangaza rasmi kwamba shida za watu wa jamii yake ni zake.

Diamond Platnumz anunua gari jipya “Rolls Royce Dawn” million 899

Katika post hiyo Diamond Platnumz amefunguka kuhusu janga la Corona ambalo linaikumba dunia kwa sasa na yuko tayari kulipia kodi za nyumba ya miezi mitatu kwa familia 500.

Alisema japo kuwa na yeye ni miongoni ya walioathirika na janga hilo lakini bado yuko tayari kusaidia jamii yake katika kile kidogo ambacho Mungu amempa.

Utarituba wa namna ya kupata misaada hiyo utatolewa rasmi jumatatu hii..

Najua katika kipindi hiki cha Corona, mambo mengi hayajakaa sawa, hususan upande wa biashara…. nyingi zimeshuka na kupelekea hali ya kifedha kuyumba na mambo kuwa kidogo Magumu kwa wengi wetu…

Ijapokuwa na mimi ni Miongoni mwa walio ndani ya janga hili, lakini nimeona walau kwa kidogo changu nilicho nacho, nitoe kusaidia kulipia kodi za Nyumba kwa miezi Mitatu mitatu kwa familia 500, walau kusaidiana Katika kipindi hiki kigumu cha kupambana na Virusi hivi vya Corona…

Licha ya kuwa Tiafa moja lakini siku zote mmekuwa Familia yangu kupitia Muziki wangu, hivyo naamini Shida yenu ni yangu, na Tabasamu lenu ni Langu pia….

Wema Sepetu akerwa kuitwa EX wa Diamond Platnumz

Jumatatu nitaweka rasmi Utaratibu wote wa namna gani Familia Hizi Miatano zinaweza kupata kodi hizo ya Nyumba….?? HiliNaloLitapita #ShidaYakoNiYangu #PamojaTutaishindaCorona – Aliandika Diamond Platnumz

View this post on Instagram

Najua katika kipindi hiki cha Corona, mambo mengi hayajakaa sawa, hususan upande wa biashara….nyingi zimeshuka na kupelekea hali ya kifedha kuyumba na mambo kuwa kidogo Magumu kwa wengi wetu…ijapokuwa na mimi ni Miongoni mwa walio ndani ya janga hili, lakini nimeona walau kwa kidogo changu nilicho nacho, nitoe kusaidia kulipia kodi za Nyumba kwa miezi Mitatu mitatu kwa familia 500, walau kusaidiana Katika kipindi hiki kigumu cha kupambana na Virusi hivi vya Corona…Licha ya kuwa Tiafa moja lakini siku zote mmekuwa Familia yangu kupitia Muziki wangu, hivyo naamini Shida yenu ni yangu, na Tabasamu lenu ni Langu pia….Jumatatu nitaweka rasmi Utaratibu wote wa namna gani Familia Hizi Miatano zinaweza kupata kodi hizo ya Nyumba….?? #HiliNaloLitapita #ShidaYakoNiYangu #PamojaTutaishindaCorona . . (I pretty much know that at these terrible times where we are all fighting global pandemic COVID-19,countless life circumstances have changed especially in businesses, many businesses are drowning hence rendering to financial difficulties and life becoming a little bit tough to many of us. Although I am amongst those affected by this pandemic on Economy, with the little that God has blessed me with, I have decided to atleast offer a helping hand by paying 3 Months house rent to 500 families as my kind gesture of helping one another during these terrible times of fighting COVID-19 for I believe i should share your troubles and your happiness too. On Monday i shall announce procedure on how these 500 families shall receive house rent. ??)

A post shared by SIMBA..!? (@diamondplatnumz) on

Leave a Comment