Uncategorized

Matokeo ya kidato cha sita mwaka 2018/2019. Tazama hapa

Matokeo ya kidato cha sita mwaka 2018/2019. Tazama hapa 

Matokeo ya kidato cha sita mwaka 2018/2019. Tazama hapa 

Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania leo Alhamisi Julai 11, 2019 limetangaza matokeo ya kidato cha sita 2019.
Katika matokeo hayo yaliyotangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta mjini Unguja Zanzibar, Dk Charles Msonde amesema ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 97.58 mwaka 2018 hadi kufikia asilimia 98.32 mwaka 2019 ikiwa ni sawa na asilimia 0.74.

Link 1

Link 2

Leave a Comment