— Advertisement —
Download | Play Now

Aina za maneno – Kiswahili

Aina za maneno – Kiswahili
Katika lugha ya Kiswahili kuna aina nane za maneno ambazo wataalamu wengi wazimebainisha. Aina hizo ni nomino (N), viwakilishi (W), vitenzi (T), vivumishi (V), vielezi (E), viunganishi (U), vihusishi (H), vihisishi (I).


Top 20 Songs Now

Comments

Leave a Comment