NEW AUDIO

D Voice – Umenifunza

AUDIO D Voice - Umenifunza MP3 DOWNLOAD

D Voice, born Abdul Hamisi Mtambo, is a Tanzanian Singeli music artist from Temeke, Dar es Salaam. Known for his melodic voice, he’s signed to the WCB Wasafi label and recently released “Umenifunza” from his debut album “SWAHILI KID.

RELATED: D Voice Ft. Barnaba, Lody Music X Platform tz – Kuachana Shingapi

“Umenifunza,” a heart-wrenching song by Tanzanian artist D Voice, known for its compelling storytelling and rhythmic melodies. Featured in his album “Swahili Kid,” the song showcases his unique style and is a highlight of his work with the WCB Wasafi Record Label. This track stands out in the realm of Singeli music, showcasing D Voice’s unique style and talent.

QUOTABLE LYRICS

Umenifunza umasikini Mbayaaa
Umenifunza umasikini Mbayaaa
Umenifunza umasikini Mbayaaa
Umenifunza umasikini Mbayaaa

Listen to, “D Voice – Umenifunza” below;

AUDIO D Voice – Umenifunza MP3 DOWNLOAD

DOWNLOAD MP3

Also, check more tracks from Diamond Platnumz;

3 Comments

  • Lyrics – Umenifunza D Voice
    Ooohh Aaaah
    Ooohh Aaaah
    Ayo Laizer
    Uliompata Anaupiga Mwingi
    Sio siri umenawirii Rangi Mashalllah
    Kampe hongera Zake
    Battle Siwezi amenizidi Vingi
    Mwenzangu tajiri mi kapuku mlala njaa
    Sijafika Level Zake
    Uuh mi hali yangu Pangu pakavu
    Ridhiki yangu ndondondoo
    Nilichojaliwa Malavu Davu
    Ila Kipato Ndio Mchongooo
    Mwenzangu Kanizidi Ubavu
    Mie Kijitie nondo
    Ningewezaje Kutoa Madafu
    Wakati mi mpera Si uongoo
    Lakini nimemiss nimemiss Kukuona Kwangu
    Yalaiti nami Mungu angenipa Fungu Langu
    Labda usinge Cheat kama muuni ningekuwa na Vyangu
    Ila atabarikii Nami Mungu Atajibu Maombi Yangu

    Ila umenifunza Umasikini Mbaya
    Umenifunza umasikini Mbayaaa
    Umenifunza umasikini Mbayaaa
    Umenifunza umasikini Mbayaaa

    Na uyoo uliempata Usmwache
    Maana anakupa Nilivyokosa Mimi
    Mungu abariki fungate Muwe wa halali
    Awaepushe kuzini
    Walomwambia asikuchape Oah
    Kumbe Na sikukuchapa Mimi
    Na wewe jeuri Uache mpe sifa mama
    uchunge yako ndimi
    Siwezi sema nimemsusa nitakuwa muongo
    Kama ikitokea Fursa mi bado nipo single
    Hamu mwezako kimejaa kichupa
    Pakumwagia songombingoo
    Nisamehe kama mstari nauvuka
    Maji yamefika kwa shingoo

    Maana nimemiss nimemiss Kukuona Kwangu
    Yalaiti nami Mungu angenipa Fungu Langu
    Labda usinge Cheat kama muuni ningekuwa na Vyangu
    Ila atabarikii Nami Mungu Atajibu Maombi Yangu

    Ila umenifunza Umasikini Mbaya
    Umenifunza umasikini Mbayaaa
    Umenifunza umasikini Mbayaaa
    Umenifunza umasikini Mbayaaa

Leave a Comment